Total Pageviews

Tuesday, April 19, 2011

WEDDING BELL

VIVAZI VYOTE IVYO UTAVIPATA NDANI YA DUKA LA WEDDING BELLS AMBAPO ZAIDI YA VIVAZI PIA KUNA VIAMBATANISHO NA VIVAZI VYA WASIMAMIZI WA SHUGHULI NA WAHUSIKA WAKUU KAMA DADA NA MAMA KAMA SI MASHANGAZI NA MABIBI
WATEMBELEE::MSASANI JENGO LA FRONTLINE KABLA YA KKKT CHURCH
MAWASILIANO::: +255 715 943 333

usher

kim k pool party

OMG!!!!!!!!!!

Congratulations to Van der Sar, 
Vidic,
 Nanand 
Berbatov, who have been named in the PFA Team of the Year. .
 oyeee

Jamani mimba zetu tuzitendee haki mbona embu ona mambo haya lollz


 Britney spears

Jennifer Garner

BornJennifer Anne Garner
April 17, 1972 (age 39)
Houston, Texas, U.S.
OccupationActress
Years active1995–present
SpouseScott Foley (m. 2000–2003)(divorced)
Ben Affleck (m. 2005–present) 2 children

Monday, April 18, 2011

How do i know that u love me

wasomaji wangu wa blog habari zenu, leo nilikua nataka kushare na nyinyi one thing. kuna relation zingine ni ngumu mno kumuelewa mwenzako anataka nini na kama kweli anakupenda. kuna watu wengine hawajiweki wazi kwa wapenzi wao wapo na kama swala la pesa anaprovide , kwenye sex kawaida lakini kwenye kushow up love yuko mbali, hataki umtembelee, hataki uwajue marafiki zake kama mwanaume basi marafiki zake wa kikeau mwanamke basi wakiume tena ukimgusia hilo unaambiwa usimfuatilie
    pia ugumu mwingine nikuwa hataki kuacha urafiki na watu ambao wewe mpenzi wake hauwataki.  kikubwa wewe kama mpenzi wake hataki ushike simu yake, je kama mtu yupo safi na anajiamini na anayoyafanya kwa nini akataze simu. mpenzi huyu anataka mwenziwe  amfikiriaje.sisemi watu mchunguzane kwenye simu zenu ila ni uhuru flani ambao hata ukiambiwa naomba simu yako unatoa.
         Na hali hii ni tofauti na mlivyo anza uhusihano na yeye. naomba munisaidie kwa hili